2/11/10

Viva Nelson Mandela: A Hero

LONG WALK TO FREEDOM



46664

1918 - Born in the Eastern Cape
1956 - Charged with high treason, but charges dropped
1964 - Charged again, sentenced to life
1990 - Freed from prison
1993 - Wins Nobel Peace Prize
1994 - Elected first black president
1999 - Steps down as leader
2001 - Diagnosed with prostate cancer
2004 - Retires from public life
2005 - Announces his son has died of an HIV/Aids-related illness
2007 - Forms The Elders group
2008 - Turns 90

20, years ago just to be sure we don't miss the chance to remember, 11 02 1990


MIAKA 91 BAADA YA KUIPATIA UHURU AFRIKA KUSINI MWAKA 1994!!
Nelson Mandela mwenye umri wa miaka 91 alipata kifungo cha miaka 27 na baada ya kuachiliwa huru aliongoza mazungumzo yaliyopelekea kufanyika kwa uchaguzi wa kwanza wa demokrasia. Katika uchaguzi huo Mandela alichaguliwa kuwa rais wa Kwanza mweusi nchini Afrika kusini mwaka wa 1994.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Nakubaliana nawe na nasema pia VIVA NELSON MANDELA( BABU YETU)