3/18/15

KUDADADEKI..!!

Yanga ndiyo wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa, zilianza timu nne sasa wamebaki wenyewe tu baada ya timu nyingine tatu kutolewa kwenye hatua ya awali kwenye Kombe la Shirikisho na Ligi ya Mabingwa Afrika. Wakiwa hawaaminiki sana,waliweza kuichapa Platinum ya Zimbabwe kwa mabao 5-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

No comments: