3/2/11

Interview ya Wiki


Gaddaf Katika Interview na BBC


Libya Muammar Gaddafi na mhariri wa masuala ya Mashariki ya Kati wa BBC kwa kushirikiana na Christiane Amanpour kutoka nanga ya ABC na The Times.

Jeremy Brown:
"Wewe unajulikana kwamba ni kiongozi kwa miaka mingi, Kuna watu wengi katika nchi hii wanaamini kuwa kikwazo kikubwa katika mabadiliko ni wewe.."

Kadhafi:
Kinyume kabisa. Mimi nipo kwa kuwaomba na kuwasihi mabadiliko wanaotaka, na isiwepo mabadiliko amabayo hawayataki.

Kadhafi aliulizwa kisha kuhusu uamuzi wa kupiga marufuku hivi karibuni kupitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Gaddafi:
"Mwanzo kabisa si uamuzi halali kwa sababu Baraza la Usalama na Umoja wa Mataifa si mamlaka ya kutazama kadhia kama hizi na hakuna uhalali kwa kuzingatia masuala haya.

Nataka kuuliza swali:...
Mbona hawakuchukua maamuzi kama haya na hatua dhidi ya Algeria? Inajulikana vizuri kabisa kwamba jeshi la Algeria linapigana vita katika mitaa. Kila siku kule kuna hadithi.
au kwa nini hawakutumia dhidi ya Urusi wakati inapambana na Chechens? na kwa nini pia haikutumika dhidi ya Wamarekani walikuwa mapigano dhidi ya Afghanistan? Kwa nini haikutumika dhidi ya wa-Israeil ambao wanaua watu huko Gaza?

Brown:
"Jibu nini kwa hili swali?

Gaddafi:
"Kwa sababu kuna nia ya kutawala Libya." Hii inafanya watu wa Libya kudhamiria kupambana dhidi ya ukoloni-mamboleo wa nchi za "Magharibi."

" Brown: "...?
Uliridhiana katika miaka ya hivi karibuni na nchi za Magharibi. Ukakaribisha hapa Libya viongozi muhimu kama Tony Blair. Lakini sasa kuna viongozi wa nchi za Magharibi wanasema inatakiwa uondoke madarakani. Unajisikia vipi kuhusu hivyo wanavyotaka? Uliwahi kufikiria kuwa hawa ni marafiki kweli?"

Gaddafi: ".
Bila shaka, huu ni usaliti Wao hawana maadili yoyote mbali na hilo la kutaka mimi nitoke madarakani. Na kwa sababu gani mimi niache madaraka? Mimi si Mfalme au hata Raisi.!?


Brown:
"Lakini wewe ndio unawakilisha nchi yako katika Umoja wa Mataifa, na kutambuliwa na Libya pamoja na dunia nzima kuwa wewe ni Raisi wa nchi hii.

Gaddafi:
"Hiyo ni heshima kwangu, haina uhusiano na kutumia madaraka. Uingereza nani anamiliki madaraka? ni Queen Elizabeth au David Cameron? Wewe huwezi kuelewa seriakli ya Libya..?"

Brown:
"The tuna Mfalme au mkuu wa nchi na Waziri Mkuu Cameron amechaguliwa na wananchi. Je wewe unafikiria kufanya uchaguzi wa kuchagua waziri Mkuu?"

Gaddafi:
"Wewe ni kweli hufahamu mfumo wa mazoezi ya serikali ya hapa nchini Libya."

Brown: ".
"Mimi nafahamu mfumo wa serikali ya hapa Libya, Lakini wewe unajulikana kuwa ni kiongozi wa kimataifa"

Gaddafi:
"Huwezi kuelewa mfumo wa hapa. Usiseme kuwa unafahamu. na Dunia yote haifahamu mfumo a nidhamu ya wananchi wa hapa Libya. Wewe huielewi kabisa.

Brown:
"Sasa vipi wananchi wanaonyesha uwezo wa mfumo? kwa sababu baadhi ya watu ambao walitoka barabarani kufanya maandamano kuwa ni watu wako.

Gaddafi:
"Mimi sioni maandamano yoyote katika mitaa. Je wewe umeona wapi waandamanaji.?

Brown:
"Ndio mimi nimeona.

Gaddafi:
"Wapi?"

Brown:
"Mimi niliona baadhi ya maandamano katika nchi."

Gaddafi:
"Je, wao ni wafuasi wa kwetu?"

Brown: ".
"No wao si wafuasi wako Baadhia yao walikuwa hawakutaki, na wengine walikuwa na wewe.

Gaddafi: "...
"Wao si hawatutaki sisi, hamna mtu hatutaki kwa nini wasiwe na sisi? Mimi si Raisi. wao wananipenda, wananchi woote wananipenda wapo tayari kufa kwa ajili yangu.

Christiane Amanpour:
"Kama unasema wanakupenda wewe, kwa nini basi wamechukua a kutawala Benghzi na kusema wao ni dhidi yako si na wewe tena?

Gaddafi: ".
"Hao ni Al-Qaeda, si wananchi wangu, hao wamekuja kutoka nje ya nchi.."

Brown:
"Basi hao ni wale ambao wanachana mabango na picha zako na kuweka bendera ya zamani ya Mfalme?"

Gaddafi: "...
"Ni Al-Qaeda wamekwenda katika kambi za jeshi na kutawala silaha, na wao ndio wanaua wananchi na kufanya fujo, Waliopata silaha ni vijana wadogo wadogo, walianza kutupa silaha zao baada ya kuanza athari ya madawa ya kulevya waliopewa na Al-Qaeda kupotea.

Brown:
"Hao ni kama wale wanaobomoa mabango na picha zako na kuweka bendera ya Mfalme?

Gaddafi.
"Walikua ni Al-Qaeda ambao walikwenda katika kambi za jeshi na polisi wakatawala silaha na mabomu, na sasa wao ndio wanaogopesha na kuua watu na wakatoka mitaani, hawana mashitaka yeyote wala malalamiko wanachi hawana sababu ya kufanya maandamno kabisa, Katika pade zote za dunia ikiwa Libya au Nigeria au Afghanistan wao hawatoki barabarani na kufanya maandamano, wale wanaobeba silaha ni vijana vijana wadogo sana hawajui utawala na sasa wameanza kuweka chini silaha zao na kuuza na kurudi majumbani mwao, Sasa wameanza kuamka na kurudi katika akili zao za kawaida baada ya kwisha athari ya madawa ya kulevya waliopewa na Al-Qaeda."

Brown: "Kanali Gaddafi:
"Vipi utaweza kuumaliza mgogoro huu? sehemu kubwa ya nchi yako ipo chini ya udhibiti wa waasi, Kuna shinikizo kubwa kutoka umoja wa mataifa na nchi zingine juu yako kwa jinsi gani inaweza kwisha huu mgogoro?..?.

Qadhafi:
"Sisi hatupewi na tunajihadhari na shinikizo za nje."

Brown:
"Na vipi kuhusu wewe kupoteza udhibiti wa sehemu kubwa ya nchi yako?"

Qadhafi:
"Sisi tunazama wananchi wetu na wao wapo na sisi bila wasiwasi, Sisi tutabaki na wao kuanguka."

2/20/11

Oman and Zanzibar review bilateral relations


Omani Deputy Prime Minister for Cabinet Affairs Fahd bin Mahmoud Al Said met today with Zanzibar First Vice President of Zanzibar Seif Sharif Hamad who is currently visiting Oman. During the meeting, they reviewed relations between the two countries in all fields and reviewed in Africa Hammad began yesterday a several days visit to the Sultanate of Oman.

2/12/11

Siku ya Wapendanao-Valentine's Day



History of Valentine's Day
There are varying opinions as to the origin of Valentine's Day.
Some experts state that it originated from St. Valentine,
a Roman who was martyred for refusing to give up Christianity.
He died on February 14, 269 A.D., the same day that had been
devoted to love lotteries. Legend also says that St.
Valentine left a farewell note for the jailer's daughter,
who had become his friend, and signed it "From Your Valentine".
Other aspects of the story say that Saint Valentine served as
a priest at the temple during the reign of Emperor Claudius.
Claudius then had Valentine jailed for defying him.
In 496 A.D. Pope Gelasius set aside February 14 to honour St.
Valentine. Over time, February 14 has become the date for exchanging
love messages and a celebration of St. Valentine, the patron saint of lovers.
The date is marked by sending poems and simple gifts, such as flowers, to loved ones and secret loves. By far, Valentine's Day Flowers are the most popular gift today. In the United States, Miss Esther Howland is given credit for sending the first valentine cards. Commercial valentines were introduced in the 1800's and now the date is very commercialised. The town of Loveland, Colorado, does a large post office business around February 14. The spirit of good continues as valentines are sent out with sentimental verses and children exchange valentine cards at school.

2/7/11

MISRI - MIDANI TAHRIRI

Misri mapambano bado yanaendelea katika uwanja wa midan tahriri kuna kilio, huzuni na vichekesho. Jamaa toka ujana wake mpaka kufikia kuzeheka hivi miaka 30 madarakani. Umati wa watu unasalai sala ya Ijumaa katika Midani Tahriri. Millioni ya wamisri. Ondoka Misri. Ondoka mkono wangu umechoka kubeba. Yani wanamshift na kumdelete kabisa asirudi tena. Ben Ali anatakiwa kumpokea Mubarak huko alipo. Mpaka kina mama na mabinti zao wamo. Hii safi sana badala ya helmet bakuli kuzuia asipigwe mawe na wanaomtaka Mubarak.

1/11/11

Wazo la Leo

Nchi Gani Ambazo Maskini?


Tofauti kati ya nchi maskini na nchi matajiri si kutokana na historia ya nchi..!!??

Ukitazama Misri na India zina zaidi ya miaka 2000 na ni maskini kuacha nchi zingine za kiafrika na za kiamerika latinia, Ukija kuona kama Canada, Australia na New Zealand zilikuwa hazipo katika miaka 150 iliyopita licha ya kuwa zina maendeleo ya nchi na utajiri.

Japan ina udogo wa asilimia 80% ya eneo lake la ardhi na ni milima isiokuwa na uwezo wa kilimo na mifugo yeyote, lakini ni ya pili katika uchumi wa nguvu zaidi duniani Japan ni kiwanda kikubwa kipo juu ya maji, wananunua madini kutoka nje kwa ajili ya uzalishaji wa vifaa na bidhaa za viwandani na kusambaza duniani kote.

Mfano mwingine ni Uswisi, ambayo haina mashamba ya kupanda kakao (CaCao) lakini ina chocolate bora dunia nzima, Uswis ni nchi ndogo sana hairuhusu kulima kilimo au mifugo kwa zaidi ya miezi minne kwa mwaka lakini wao huzalisha maziwa bora duniani, Ni nchi ndogo lakini kwa mfano wa usalama na utaratibu wa kazi imekua nchi ya kwanza kua na hazina kuu na ya kuweka pesa katika dunia nzima kwa usalama wake.

Katika umasikini na utajiri rangi haina ushawishi. Wahamiaji au wakimbizi katika nchi za kitajiri wanaosanifiwa kua ni watu wavivu katika nchi zao ndio wamekua asili ya nguvu ya uzalishaji katika mataifa tajiri ya Ulaya.

Nini tofauti, basi?
Tofauti inakua katika tabia na kiimarishaji cha elimu na utamaduni katika miaka ya mbele.

Baada ya kuchunguza tabia za watu katika nchi zilizoendelea, tunaona kwamba wengi kufuata kanuni zifuatazo katika maisha yao:

1. Maadili. Kama kanuni ya msingi.
2. Uadilifu.
3. Jukumu.
4. Heshima kwa sheria na utaratibu.
5. Heshima ya haki za raia wengine.
6. Upendo wa kazi.
7. Kupenda uwekezaji na akiba.

Katika nchi maskini hazifati kanuni hizi, ni wachache tu ya watu katika maisha yao ya kila siku, Sisi si maskini kwa sababu ya ukosefu wa rasilimali au kwa sababu ya asili kuwa kali na sisi, Sisi ni maskini kwa sababu ya kasoro katika tabia. Kwa sababu ya kukosa uwezo wetu wa kukabiliana na kuwafundisha kanuni ya msingi iliofanya kuongozwa kwa maendeleo ya jamii na utajiri.

Nchi za kiafrika zinaukubwa wa ardhi ya kuweza kulima mazao yeyote yale na madini kila aina lakini imekosekana hazina ya kanuni za msingi zifuatazo hapo juu kuendeleza nchi zao na maisha.

Ukitazama utakuta kuwa Afrika ndiyo bara maskini.

Sijui wewe msomaji wa blog hii una maoni gani kuhusu ili wazo ili kuendeleza uchumi na maisha ya nchi za kiafrika?

1/4/11

Mzee wa Mwaka - World's Oldest Dad

at 94: Indian farmer claims to be world's oldest dad... and he wants MORE children


Ramjit Raghav, 94, poses for a picture outside his house with his two-month-old baby Vikramjeet in Haryana, India

He believes the secret to eternal youth is half a kilo of butter washed down with three litres of milk every day.

And Ramjit Raghav must be doing something right. At the age of 94, he claims, he has just celebrated the birth of his first child.

Mr Raghav, from Haryana in northern India, hailed the arrival of son Karamjit as ‘God’s gift’. It would make him the world’s oldest father.

He and his wife Shakuntala Devi, believed to be in her late 40s, hope to go one further by trying for a second child next year.


Raghav and wife Shankuntala Devi, 50-something, hope to have another baby

Mr Raghav, who was a wrestler in his youth, is confident that he will be around to see his little boy grow up, saying: ‘I will die only if a black snake bites me and that is very unlikely.

‘Visit me after ten years and you will find me in the same appearance.

‘My daily diet comprises three litres of milk, half a kilo of almonds and half a kilo of ghee [clarified butter].’

But some doctors have questioned the validity of Mr Raghav’s claim.

Dr Paramjeet Singh, chief medical officer at Kharkhoda Civil Hospital, where the baby was born in November, said: ‘Having babies at such an age is a remote possibility. It can’t be ruled out.’

If it is true, Mr Raghav will beat current record holder Nanu Ram Jogi, an Indian farmer who fathered his 21st child at the age of 90 in 2007.

Mr Raghav actually claims to be more than 100 years old, but pension records give his age as 94.

Dr Singh added: 'It was a normal delivery and the baby is quite healthy and fine.'

Shakuntala's age, alternately reported as 51, 52 and 54, makes for incredibly slim odds of ovulation and any viable eggs.

Villager, Karan Singh, 39, was surprised to hear one of the elders had become a father last month.

She said: 'At first I didn’t believe it but it is the god’s grace and most importantly Ramjit is quite healthy and hard-working.'

He claims to be more than 100 years old, but according to the old-age pension records he is 94

12/18/10

Wananchi MaBillionea Lakini Masikini


Huu ni utajiri au umasikini? Zimbabwe watu wananunua mayai matatu kwa Billion mia moja dollars hata mamillionea wa duniani pote hawawezi kufanya hivyo, Wananchi mabillionea lakini masikini wahenga walisema Masikini hafilisiki, Hii ni ya kuwekwa katika kitabu cha Guiness World Records.

12/15/10

Utu wa Nyani



Katika mji wa Bangalore huko India. Watu wawili vipofu walitaka kunywa maji katika bomba lakini hawakuweza kulifungua bomba, akaja huyu Nyani na kuwafungulia bomba na kuwapa ruhusa ya kunywa maji baada ya kumaliza kunywa maji wakaondoka huyu nyani akanywa na yeye kisha akalifunga bomba kabla ya kuondoka katika eneo hilo.

Huu ni uthibitisho mkubwa kwamba ubinadamu gani upo - hata sisi binadamu siku hizi hatuna utu kama anavyo huyu Nyani...

12/13/10

Muscat - Zamani na Sasa















Huu ndio mji wa Muscat picha hizi zinaelezea vipi mji ulivyokua miaka ya nyuma na sasa hivi, Picha nyeusi na nyeupe ni miaka kuanzia 70 aliposhika Sultan Qaboos Hukumu ya Oman, Na picha za rangi ni katika miaka kuanzia 80 hadi leo lakini kuna mabadiliko makubwa sana si kama unavyoona hivyo.